Skip to main content

March

LIFE AND IMMORTALITY THROUGH THE GOSPEL March 1st, 2019

March 1st, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

...but be thou...made manifest by the appearing of our Saviour Jesus Christ, who hath abolished death, and hath brought life and immortality to light through the gospel (2 Timothy 1:8-10).

In Christ Jesus, life and immortality have been unveiled. This life isn’t the mere human or biological life that’s depraved, degenerate and broken; it’s the life and nature of God that transcends the ordinary human life. In 1 John 5:13, the Apostle John writes, “These things have I written unto you that believe on the name of the Son of God; that ye may know that ye have eternal life….” So, being a Christian means that the human life that’s subject to death, with which you came into this world, has been supplanted by the life and nature of God, making you immortal; divine.

Could this be real? “Is it true that death has been abolished?” some may ask. Well, the Word says so, and that settles it! Notice the tenses that Paul used; he said death has been abolished; that’s in the past tense; it’s not a promise; it’s been done already; you’re not an ordinary person; you’re divine. 2 Peter 1:4 says, “Whereby are given unto us exceeding great and precious promises; that by these ye might be partakers of the divine nature….”

As a replacement for the abolished death-doomed human nature, He gave us divinity; He made us partakers of the divine nature; associates of the God-kind; comrades of the divine order. Let this understanding change the way you live; you’re a victor in this life. You have the life of God in you.

As you walk in Christ and preach the Word of God, you’re participating in divinity, and unveiling life and immortality through the Gospel, so those who are lost can hear, receive, and become partakers of this glorious life as well. Hallelujah!


Prayer

Dear Father, I thank you for giving me life and immortality, making me a partaker of your divine nature. I declare that by the power of the Holy Spirit working in me, I’m effective in the divine experience and bearing fruits in every good work, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

John 11:25; 1 Corinthians 15:55; John 5:24

Excerpt

In Christ Jesus, life and immortality have been unveiled. This life isn’t the mere human or biological life that’s depraved, degenerate and broken; it’s the life and nature of God that transcends the ordinary human life.

Bible Reading Plan

Annual : Mark 9:14-32 & Numbers 7-8
Bi-Annual : Matthew 19:1-12 & Exodus 10



HE’S REALLY NOT WORKING TODAY March 2nd, 2019

March 2nd, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

For he that is entered into his rest, he also hath ceased from his own works, as God did from his (Hebrews 4:10).

Our opening verse reveals something striking that many in the Church today need to understand. God isn’t in heaven, troubled about how to fix things in the world and help his children that are in one predicament or the other. Rather, He’s in heaven resting. He’s done everything He ever needed to do for you to have and enjoy life to the full, and now He’s taking a chill; resting.

You might say, “But when I have a situation, and I pray to God, who miraculously intervenes, doesn’t that mean He’s done something?” No, He didn’t do anything. You only activated your faith to receive what He’s already done. You might query further, “But the Apostle Paul said, ‘Now unto him that is able to do exceeding abundantly above all that we ask or think, according to the power that worketh in us’ (Ephesians 3:20). Doesn’t it show that God still does things today?” Notice the latter part: He does whatever you require Him to do for you, according to His power that’s at work in you, not according to the power He wields in, or from heaven. That’s why when such miracles happen, He gives you the credit. He told us to heal the sick, cleanse the lepers, raise the dead, cast out devils (Matthew 10:8). He didn’t say, “Pray to me to do them.”

There’re certain things that are permissible at the lower levels of spiritual understanding. For example, we can say in a crusade meeting, “God is going to heal you today,” and diverse healing miracles will take place. But that’s a lesser truth. In Genesis 1:16, we read about greater light and the lesser light. Light stands for truth. Lesser and generic truths are for the babies in Christ; so you tell them, “God is going to heal you.”

But the more you delve into the Word of God, the more you realise that God is really not “doing” anything for anybody today in the sense that many understand it. He’s already done and fulfilled everything in Christ Jesus! He’s not making any effort to heal you or give you anything. 2 Peter 1:3 says, “According as his divine power hath given unto us all things that pertain unto life and godliness….” He’s already done it! What you need now is to act on the Word and walk in your inheritance. Be all He’s made you, and enjoy all that He’s made available to you in Christ.


Prayer

Blessed be God! I live the transcendent life of glory; I’m triumphant in Christ, always, in every place, and in all things. I’m more than a conqueror! His divine power has given me everything I need for life and godliness. I have, and I’m enjoying, life to the full. Hallelujah!

Further Study

1 Peter 2:1-2; Matthew 6:25-26; Ephesians 1:3

Excerpt

The more you delve into the Word of God, the more you realise that God is really not “doing” anything for anybody today in the sense that many understand it. He’s already done and fulfilled everything in Christ Jesus!

Bible Reading Plan

Annual : Luke 9:18-36 & Joshua 13-15
Bi-Annual : Matthew 27:1-10 & Leviticus 2



HIS BODY AND BLOOD March 3rd, 2019

March 3rd, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

The cup of blessing which we bless, is it not the communion of the blood of Christ? The bread which we break, is it not the communion of the body of Christ? (1 Corinthians 10:16).

Being born again, not only is it your right to take the Holy Communion; it’s also compulsory, for it’s a participation in the body and blood of Christ. As seen in our opening verse, the cup of blessing is actually the Communion of the blood of Christ. Likewise, the bread, which we break, is the Communion of His body. This means we’re one with the Lord. His victory is our victory; His ability is our ability. All that He is, He is in us, and we’re complete in Him. Amazing reality!

These are our affirmations as we partake of the Communion; we’re to be mindful of our oneness with the Lord, and our triumphant life in Him. “What if a Christian has done something wrong, can he still partake of the Communion?” Yes. He should repent of his sin immediately and not miss the opportunity to partake of the Communion, because the blood of Jesus was shed for the remission of sin; the Communion is a demonstration of faith in the blood of Christ for redemption.

“But I thought the Bible says, ‘Don’t take the Communion when you’re not worthy; meaning when you’ve sinned?’” someone queries. That’s not what the Bible says. The Spirit of God, writing through Paul to the Corinthian Church, didn’t say, “whosoever shall eat this bread or drink this cup, being unworthy.” Being unworthy means the person isn’t qualified to eat the bread or drink the cup; every Christian qualifies to take the Communion. What the Bible says is that it shouldn’t be done “unworthily,” and there, the Apostle Paul was addressing the impropriety reported of the Christians in Corinth as they took the Communion (1 Corinthians 11:18-34).

Taking the Communion is something that must be done reverently and meditatively; in a heart of worship and holiness, knowing the significance of the body and blood of Christ—the fellowship and eternal redemption it provides. Hallelujah!

 


Prayer

Dear Father, I thank you for the body of Jesus that was broken for me, and His blood that was shed for the remission of my sins. I’m forever grateful for my oneness with you, and for your glory in my life. Now I have a brand new life of righteousness, with dominion over sin, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

1 Corinthians 11:27-30; Matthew 26:26-28

Excerpt

Being born again, not only is it your right to take the Holy Communion, it’s also compulsory, for it’s a participation in the body and blood of Christ.

Bible Reading Plan

Annual : Mark 10:1-31 & Numbers 11-13
Bi-Annual : Matthew 19:23-30 & Exodus 12



A GIFT FOR ALL March 4th, 2019

March 4th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life (John 3:16).

Romans 6:23 says, “For the wages of sin is death; but the gift of God is eternal life through Jesus Christ our Lord.” Eternal life is God’s gift to the world, not to Christians. You become a Christian only after you’ve received eternal life, which is the life and nature of God. What Jesus came to do, the salvation He brought, was for the whole world. So, in the mind of justice, the whole world has been saved, because Jesus paid the price for every man’s sin. This is legal salvation. Vital salvation is only received by personal faith in Jesus Christ.

Unless one acknowledges and accepts His vicarious sacrifice, he won’t experience the vital reality of the finished works of salvation in his personal life. That’s where we come in; those of us who have become Christians have a responsibility to tell the world what Jesus did. Many don’t believe because they haven’t heard. Romans 10:14 sums it rightly: “How then shall they call on him in whom they have not believed? and how shall they believe in him of whom they have not heard? and how shall they hear without a preacher?”

They’ve got to hear that Jesus is the way, the truth,and the life, and that He’s made that life available to everyone. It’s a gift; therefore, they don’t have to work for it; all they need is to receive it. Romans 10:9-10 says, “…if thou shalt confess with thy mouth the Lord Jesus, and shalt believe in thine heart that God hath raised him from the dead, thou shalt be saved. For with the heart man believeth unto righteousness*; and* with the mouth confession is made unto salvation.” That’s how simple it is to receive this glorious, wonderful gift of eternal life, and become an associate of the God-kind.

The human life is depraved, degenerate, and broken; but God has provided another life, the transcendent life, which He wants all men to have and live. It’s the life of absolute victory, glory, righteousness, and dominion in Christ; it makes you indestructible and supernatural, and it’s only available in Christ.

 


Prayer

I thank you, precious Father, for sending Jesus to die for me, making it possible for me to have eternal life. This life is working in every fibre of my being, repelling sickness, disease, infirmity, death, poverty, and everything that’s inconsistent with the provisions of the divine life, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

Romans 6:23; 1 John 5:13

Excerpt

In the mind of justice, the whole world has been saved, because Jesus paid the price for every man’s sin. This is legal salvation. Vital salvation is only received by personal faith in Jesus Christ.

Bible Reading Plan

Annual : Mark 10:32-52 & Numbers 14-15
Bi-Annual : Matthew 20:1-16 & Exodus 13



A LIFE OF POWER OVER SIN March 5th, 2019

March 5th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

...if thou shalt confess with thy mouth the Lord Jesus, and shalt believe in thine heart that God hath raised him from the dead, thou shalt be saved (Romans 10:9).

Jesus died to save man from sin, but salvation from sin wasn’t enough. We were free from sin and the consequences of sin, but we weren’t free from the power of sin. The resurrection of Jesus gave us a new life and power over sin. Thus, the power to live above sin came from the resurrection; the resurrection brought us a new life of righteousness!

This is why it’s compulsory that we understand that true salvation is based on our faith in the death, burial, and resurrection of Jesus Christ. If anyone believes in the death and doesn’t believe in the resurrection, their salvation isn’t complete, because the resurrection is what gives us eternal life.

We read in our opening verse, “…if thou shalt confess with thy mouth the Lord Jesus, and shalt believe in thine heart that God hath raised him from the dead, thou shalt be saved.” Verse 10 continues, “For with the heart man believeth unto *righteousness; and with the mouth confession is made unto salvation.”*From the foregoing, we observe two things that are involved in salvation: you must confess with your mouth that Jesus is Lord of your life, and believe that God raised Him from the dead. When a man fulfils both, he can then declare, “I’m saved,” for with that, he’s at once ushered into a new life; a life of righteousness, with power over sin.

If you’ve never been born again, this is what you need: affirm the Lordship of Jesus over your life, believing in your heart that He died for you, and that God raised Him from the dead for your justification. Let us know that you made that declaration by sending a mail to info@rhapsodyofrealities.org


Prayer

I pray for souls around the world today, that their hearts be open to receive the Gospel, as the Word is brought to them in diverse means. The veil is removed from their hearts, and the light of the glorious Gospel shines through, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

Romans 6:4; Romans 10:9-10 NIV

Excerpt

Jesus died to save man from sin, but salvation from sin wasn’t enough. We were free from sin and the consequences of sin, but we weren’t free from the power of sin. The resurrection of Jesus gave us a new life and power over sin.

Bible Reading Plan

Annual : Mark 11:1-26 & Numbers 16-17
Bi-Annual : Matthew 20:17-23 & Exodus 14



BEAUTIFYING YOUR SPIRIT March 6th, 2019

March 6th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

When Moses came down from Mount Sinai carrying the two Tablets of The Testimony, he didn’t know that the skin of his face glowed because he had been speaking with GOD (Exodus 34:29 MSG).

Man is a spirit being and not a physical body. Many, however, have put a premium on their outward appearance; they go through rigorous exercises and dietary plans; some even go through severe surgical procedures to maintain or enhance their physical looks. 

But you see, don’t be carried away by all the praise you might receive for your outward appearance. The truth is, there’s no glory like that of your spirit. That should be your dream: beautifying your human spirit! 

1 Peter 1:23 says*, “Being born again, not of corruptible seed, but of incorruptible, by the word of God, which liveth and abideth* for ever*.”* Thus, you’re born of the Word, and contemplating the Word should be a priority. When you study the Word or receive its ministry in teaching or preaching, it glorifies or beautifies your spirit. You’re strengthened, energized and invigorated for greater works. 

Moses had an experience recorded in Exodus 34. He had spent so much time (forty days and forty nights) with God on Mount Sinai, receiving the Ten Commandments. When he came down from the mountain, his face radiated the glory of God, such that everyone who saw him couldn’t look at him. 

Moses had to wear a veil to shroud the glory that had rubbed off on him (Exodus 34:29-33). That’s the effect of deep contemplation and meditation on the Word. 2 Corinthians 3:18 says, “But we all, with open face beholding as in a glass the glory of the Lord, are changed into the same image from glory to glory, even as by the Spirit of the Lord.”

The Word of God is where the glory is, and the New Covenant is far more glorious. As you receive the Word, at your quiet time, devotion, or church services, the intensity of the glory in your life is increased; you’re enraptured, beautified, and enveloped by His glory.


Prayer

Dear Father, thank you for your Word, which causes your glory to shine forth with much intensity in my life and in all that I’m connected with. As I meditate on the Word of faith, I experience victory, divine health, and blessings! My life is an expression of your supernatural grace, glory, perfection, beauty and righteousness. I’m continually metamorphosed from glory to glory, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

1 Timothy 4:15John 1:142 Timothy 3:15-16

Excerpt

There’s no glory like that of your spirit. That should be your dream: beautifying your human spirit! 

Bible Reading Plan

Annual : Mark 11:27-12:1-17 & Numbers 18-19
Bi-Annual : Matthew 20:24-34 & Exodus 15



PRAY FOR YOUR ENEMIES… NOT AGAINST THEM March 7th, 2019

March 7th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

This I say then, Walk in the Spirit, and ye shall not fulfil the lust of the flesh (Galatians 5:16).

Sometimes, some Christians, while praying, would say, “Whatever evil my enemies have planned against me, Lord, give them double! Anyone who wants me dead, let that one rather die a sudden death!” No, this isn’t the right way to pray as a Christian; not when you’re full of the Spirit!

Those who pray like that are praying according to the desire of the flesh, not according to the Spirit. Our opening verse says, “...Walk in the Spirit, and ye shall not fulfil the lust(desire)*of the flesh.”*It’s the desire of the flesh to see the death of your enemies, but the desire of the Spirit is to see their salvation.

When you pray against your enemies, that’s walking in the flesh; that’s praying in the flesh. What God wants is for us to pray in the Spirit: “Praying always with all prayer and supplication in the Spirit…”(Ephesians 6:18). Stay in the Spirit; don’t be perturbed by whatever your enemy may be scheming against you.

Jesus said, “Pray for,” not against, your enemies: “But I say unto you, Love your enemies, bless them that curse you, do good to them that hate you, and pray for them which despitefully use you, and persecute you”(Matthew 5:44). You may feel hurt, and upset or angry, but refuse to hate. You’re too full of love to hate or curse anyone. You’re too sweet in your spirit to be bitter or take record of the wrongs done to you.

Don’t give attention to your adversaries, for they don’t count. It makes no difference how many people gang up against you, they’re not a factor. You’ve been raised together with Christ! Greater is He that’s in you than he that’s in the world. Read the words of David in Psalm 27:2: “When the wicked, even mine enemies and my foes, came upon me to eat up my flesh, they stumbled and fell.”

There was no need for him to pray against his enemies; they simply took their place: they stumbled and fell. That’s the fate of anyone who professes to be your enemy. If they don’t repent, they’re doomed. But your role is to pray for them, hoping God would grant them repentance unto the acknowledging of the truth.


Prayer

Dear Father, thank you for your love that’s shed abroad in my heart by the Holy Spirit, and for the fullness of Christ in my heart. Your love is daily expressed through me in my thoughts, words, and actions. I’m riding through life gloriously, making progress with giant strides, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

Proverbs 24:17 GNB; Luke 6:27-28; Isaiah 54:17

Excerpt

When you pray against your enemies, that’s walking in the flesh; that’s praying in the flesh. What God wants is for us to pray in the Spirit

Bible Reading Plan

Annual : Mark 12:18-44 & Numbers 20-21
Bi-Annual : Matthew 21:1-11 & Exodus 16



STAND UP FOR JESUS March 8th, 2019

March 8th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

For the LORD is our judge, the LORD is our lawgiver, the LORD is our king; he will save us (Isaiah 33:22).

The Bible says Jesus has been placed*“high* above all other government and authority and power and dominion, and every title of sovereignty used either in this Age or in the Age to come” (Ephesians 1:21 WNT). For that reason, it makes no difference what the title is; be it President, Prime Minister, President General, Chief Judge, etc., Jesus is above them all. He’s above every title of sovereignty and government. Now, what does this mean for the Church?

Remember, He’s the head, and the Church is His body; He and the Church are one; we go by the same name. Thus, in union with Him, the Church is above, and has a say in, any and every government in this world. Therefore, those who think the Church is helpless, beggarly, and weak, must think again. Read our opening scripture; it says, For the LORD is our judge(that’s the Judiciary), the LORD is our lawgiver (that’s the legislature), the LORD is our king (that’s the executive)….”

Jesus and the Church have a say in every arm of government. He’s the Judge, the Lawgiver, and  the King! Have these in your mind, and stand up for Jesus and the Church everywhere, irrespective of the opposition. If you stand up for Him, He’ll stand for you.

Jesus said, “...All power is given unto me in heaven and in earth”(Matthew 28:18). Then in the next verse, He said, on the basis and authority of that power, “Go ye therefore, and teach all nations….” Your country isn’t left out; you have authority in His Name. Read also what He said in Matthew 28:20, “… lo, I am with you alway, even unto the end of the world. Amen.”

Refuse to be intimidated by any law, regulation, or policies that are against the Gospel; keep serving the Lord faithfully. But control and influence the government and leaders in your prayers and the exercise of spiritual authority in the Name of Jesus Christ.


Prayer

Refuse to be intimidated by any law, regulation, or policies that are against the Gospel; keep serving the Lord faithfully. But control and influence the government and leaders in your prayers and the exercise of spiritual authority in the Name of Jesus Christ.

Further Study

Philippians 2:9-11; Jeremiah 1:10-12; 1 Corinthians 15:58

Excerpt

In union with Jesus, the Church is above, and has a say in, any and every government in this world. Therefore, those who think the Church is helpless, beggarly, and weak, must think again.

Bible Reading Plan

Annual : Mark 13:1-37 & Numbers 22-23
Bi-Annual : Matthew 21:12-17 & Exodus 17



“THE FIRE OF CLEANSING” March 9th, 2019

March 9th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

I indeed baptize you with water unto repentance: but he that cometh after me is mightier than I, whose shoes I am not worthy to bear: he shall baptize you with the Holy Ghost, and with fire (Matthew 3:11).

Fire is very significant in Scripture. In some places, it was used to symbolize the Spirit of God and the character in which He operated or manifested Himself. When God revealed Himself to Moses, it was in the burning bush (Exodus 3:3-5). When the Holy Ghost came in Acts 2:1-4 as Jesus had promised His disciples, the Scriptures record that cloven tongues like as of fire appeared unto them and sat upon each of them, and they were filled with the Holy Ghost.

Then we read the words of John the Baptist in our opening verse above, where he talked about the baptism of the Holy Ghost and fire. Now, many have confused John’s statement to mean that both the power of the Holy Ghost, and the fire of the Holy Ghost are synonymous, but they aren’t. When John the Baptist said Jesus shall baptize with the Holy Ghost, and with fire, that “fire” meant judgment.

The fire of the Holy Ghost is about cleansing; it’s called, “The fire of Judgment” or “The fire of cleansing.” The Bible says, “…he will throughly purge his floor, and gather his wheat into the garner; but he will burn up the chaff with unquenchable fire” (Matthew 3:12). That’s judgment! It’s the same thing we see in Malachi 3:2-3: “But who may abide the day of his coming? and who shall stand when he appeareth? for he is like a refiner’s fire, and like fullers’ soap: And he shall sit as a refiner and purifier of silver: and he shall purify the sons of Levi, and purge them as gold and silver, that they may offer unto the LORD an offering in righteousness.”

Thus, Holy Ghost fire is the fire of purification; it takes away the unclean things from your life; it burns them up, that there be no impurities in you; that fire purifies you, removes everything that’s not of God. Thus, you’re sanctified for the Lord’s use; you’re His vessel unto honour, to bring Him glory, and establish His will in the earth. Hallelujah!


Prayer

I’m washed, sanctified, justified, in the Name of the Lord Jesus Christ, and by the Spirit of our God! There’s no uncleanness in me, for the fire of the Holy Ghost purifies my heart from all filthiness. I’ve become the radiance of God’s glory, and the expression of His righteousness. Hallelujah

Further Study

Isaiah 4:3-4; 1 Peter 1:7; 2 Timothy 2:19-21

Excerpt

Holy Ghost fire is the fire of purification; it takes away the unclean things from your life; it burns them up, that there be no impurities in you; that fire purifies you, removes everything that’s not of God.

Bible Reading Plan

Annual : Mark 14:1-26 & Numbers 24-26
Bi-Annual : Matthew 21:18-32 & Exodus 18



ANATAKA MATOLEO YAKO—NA SIO MICHANGO March 10th, 2019

March 10th, 2019


Kwa maana katika mlima wangu mtakatifu, katika mlima mrefu sana wa Israeli, asema Bwana MUNGU, ndiko watakakonitumikia nyumba yote ya Israeli, wote pia katika nchi ile; nami nitawatakabali huko, na huko nitataka matoleo yenu, na malimbuko ya dhabihu zenu, pamoja na vitu vyenu vitakatifu vyote (Ezekieli 20:40).

Kuna tofauti baina ya mchango na matoleo. Pindi unapotoa kwa Bwana, ni sadaka, matoleo; inaitwa matoleo matakatifu na ni ushirika [mahusiano] baina yako na Baba yako wa mbinguni, tofauti na michango. Kuna jitihada tunazoweza kufanya kutoa michango; tunaweza kutoa michango kwa taasisi za mashirika ya misaada, mashirika yasiyo ya kiserikali, kwa sababu zinazofaa, walakini pindi inapohusiana na kumtolea Mungu, sio mchango. Sadaka zako na zaka unazomtolea Bwana ni matoleo na yanapaswa kutukuzwa moyoni wako na yatolewe kwa heshima.

Hili ni la muhimu mno kwa sababu namna au jinsi ambavyo unajihusisha na kutoa kwako inaazimia matokeo unayokwenda kupata kutoka kwa Mungu. Endapo utatoa kama mchango, unapata kile ambacho michango imeahidi. Haumchangii Mungu; unatoa sadaka kwa Mungu, kwa sababu Yeye ni Mungu. Sadaka zako ni ushuhuda wako kuwa unamtambua, na una muheshimu Yeye kwamba ni Mungu, na sio kama mwanadamu.

Wakati mwingine, michango au changizo zinaweza zikaitishwa kanisani. Zinaweza kuwa ni kwa ajili ya mradi fulani wa Kanisa au jukumu; na linakuwa limeainishwa vizuri. Walakini, zaka zako na sadaka, kama sadaka ya mbegu, sadaka ya malimbuko, n.k., sio michango au changizo: bali ni matoleo kwa Bwana. Kumbuka, kumwabudu Bwana ni lazima kuwe sawa sawa na utaratibu Alioutoa, au vinginevyo tunapoteza baraka iliyoahidiwa. Neno linafundisha kuwa kuna baraka zimefungamanishwa na matoleo. Michango na changizo nazo zina baraka zake vile vile.

Kwa mfano, endapo ukimpa maskini pesa, hiyo si sadaka; inaitwa deni au kwa maneno mengine umemkopesha Mungu (Mithali 19:17); hiyo ni tofauti; ina baraka yake. Na sadaka kwa ajili ya kumtolea Mungu ni tofauti kabisa. Ufahamu huu ni wa muhimu, kwa sababu pindi unapotaka kuwa na matokeo ya kiwango cha juu kabisa kutoka kwa Mungu, unapaswa kufanya mambo ya ki-Mungu, katika njia za Mungu.


Prayer

Mpendwa Baba wa mbinguni, ninakuabudu Wewe kwa sadaka na matoleo yangu. Ninatamka kwamba daima ninashamiri na kuongezeka katika neema ya kutoa, sawa sawa na ninavyoongezeka katika hekima na ufahamu. Kupitia kujitoa kwangu kikamilifu, kuenea kwa injili ni kwepesi, na maisha mengi yanaguswa, yote hayo ni kwa ajili ya sifa na utukufu wa Jina Lako. Amina.

Further Study

2 Wakorinto 9:7-8; 2 Tesalonika 1:3

Excerpt

Kuna tofauti baina ya mchango na matoleo. Pindi unapotoa kwa Bwana, ni sadaka, matoleo; inaitwa matoleo matakatifu na ni ushirika [mahusiano] baina yako na Baba yako wa mbinguni, tofauti na michango.

Bible Reading Plan

Annual : Marko 14:27-52 & Hesabu 27-28
Bi-Annual : Matayo 21:33-46 & Kutoka 19



USIJISUMBUE KWA CHOCHOTE KILE March 11th, 2019

March 11th, 2019


Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu… (Wafilipi 4:6-7).

Endapo, hakika, ukagundua kuwa Mungu amekubariki sana, na una kila rasilimaliunazohitaji kwa ajili ya kitu chochote kile, je! Utaishi kwa namna gani kila siku? Je, bado utakuwa na mashaka juu ya kitu chochote? Ama kwa hakika ninajua hautokuwa na mashaka! Namaanisha, una kila kitu, na unaweza ukafurahia kila kitu ambacho Mungu amekubariki hapa duniani; hutosumbuka kuhusiana na kitu hapa duniani!

Lakini, je! Unatambua ya kuwa hivyo ndivyo unavyotarajiwa kuishi maisha yako kila siku? Hutakiwi

kujisumbua kwa chochote kile, kwa sababu Mungu, hakika, tayari ameshakubariki kwa kila kitu: kila

rasilimali—za kiroho na kimwili—ambazo unahitaji kwa ajili ya kuishi maisha ya kitauwa na mafanikio. Wale wasiokuwa na ufahamu huu, na wasioishi kwa ufahamu huu ndiyo wale ambao wanafadhaishwa, na kuwa na mashaka juu ya maisha.

Bwana Yesu katika Mathayo 6:25 alisema, “Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini…” Hii ni tiketi yako ya maisha ya uhuru yasiyo—na hofu. Soma maneno Yake katika Mathayo 6:32 kwa jinsi alivyokuwa akiendelea katika somo lilo hilo, “Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote.” Jambo hili ni zuri [la kuvutia] kiasi gani!

Kabla hujazaliwa, Mungu tayari alishajua kila kitu ambacho utakihitaji, na katika pendo Lake, amekukirimia vyote katika Kristo hata kabla ya kuwa ufahamu au “imani” ya kufikiria juu ya kumwomba. Alisema katika 1 Wakorintho 3:21, “...Kwa maana vyote ni vyenu.” Ndio maana si ajabu Mfalme Daudi alisema kwa ujasiri, “Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu” (Zaburi 23:1).

Katika maisha yako, kataa kuhofu; ni jambo ambalo unapaswa kujifunza. Kuwa na uhakika [imani] katika Bwana, na katika yote ambayo amefanya kwa ajili yako na kuyafanya kuwa dhahiri kwako katika Kristo Yesu. Badala ya kuwa na wasiwasi, ambapo wasiwasi huo hautobadilisha hali hiyo, muinulie Bwana sala zako; pamoja na kushukuru, wasilisha mahitaji yako Kwake.

Chagua maisha ya baraka na zikatae hofu na wasiwasi. Utashangazwa kwa milango itakayofunguliwa kwako; baraka za Mungu ambazo zitaanza kutenda kazi katika maisha yako bila ukomo. Atukuzwe Mungu milele yote!


Prayer

Nimekirimiwa vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa; vyote ni vyangu. Ufahamu wangu u katika Bwana, na Neno Lake; hivyo, baraka za Mungu katika Kristo zinatenda kazi maishani mwangu bila ukomo. Abarikiwe Mungu!

Further Study

1 Petro5:6-7; 2 Petro1:1-4; Matayo 6:31-34

Excerpt

Endapo, hakika, ukagundua kuwa Mungu amekubariki sana, na una kila rasilimali unazohitaji kwa ajili ya kitu chochote kile, je! Utaishi kwa namna gani kila siku?

Bible Reading Plan

Annual : Marko 14:53-72 & Hesabu 29-31
Bi-Annual : Matayo 22:1-14 & Kutoka 20



TEMBEA KATIKA NURU YAKE March 12th, 2019

March 12th, 2019


Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili (Wagalatia 5:16).

Sababu ya Wakristo wengi wanajikuta wakitaabika na tamaa za mwili ni kwa sababu hawaliishi Neno (Yakobo 1:22). Neno la Mungu limeeleza wazi wazi: Enenda katika Roho, nawe hautozitimiza kamwe tamaa za mwili, kama mstari wetu wa ufunguzi unavvyoeleza.

Baadhi wamekuwa wakijaribu kuusulubisha mwili kwa kipindi kirefu pasipo mafanikio. Mungu, kamwe hajawahi kutuambia tuusulubishe mwili, kwa sababu mwili tayari ulishasulubishwa; hilo lilitokea wakati ule ule ulipozaliwa mara ya pili. Wagalatia 5:24 inasema, “Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.”

Hivyo, endapo unataabika [unasumbuka] kwa tamaa za mwili, kirahisi kabisa zisitishe tamaa hizo; wewe litende Neno tu; enenda kulingana na uzima na asili ya Mungu ambayo i katika roho yako. 1 Yohana 1:7 inatuasa kuwa tuenende katika nuru, kama Yeye (Mungu) alivyo katika nuru; kwa maneno mengine, inamaanisha tembea katika mustakabali wa nuru ya Mungu kwa ajili yako katika Kristo, kama ilivyofunuliwa kwenye Neno.

Kwa mfano, Warumi 6:14 inasema, “Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi…”; hivyo, endapo unajikuta ukisumbuliwa na tabia ya dhambi, usichanyikiwe! Litumie Neno. Kiri kuwa, “Mimi ni mwenye haki wa Mungu katika Kristo Yesu; dhambi haina nguvu dhidi yangu. Ninakataa kufungiwa nira ya utumwa uwao wote ule. Ninaweka hitimisho katika tabia hii katika Jina la Yesu.” Fanya ukiri huu na anza kuenenda katika nuru yake, na dhambi haitokuwa na utawala juu yako. Haleluya!


Prayer

Baba mpendwa, ninakushukuru kwa kuniangazia katika njia ya uzima kupitia Neno Lako; Neno Lako limejawa na nuru na utukufu. Ninaenenda katika nuru ya asili yangu ya haki, nikifanyia mazoezi mamlaka yangu dhidi Shetani, dhambi, na tamaa mbaya pamoja na mawazo mabaya ya mwili. Nimeushinda ulimwengu, na ninaishi katika ushindi maridhawa kila siku, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Waebrania 12:1; Waroma 6:14-18

Excerpt

1 Yohana 1:7 inatuasa kuwa tuenende katika nuru, kama Yeye (Mungu) alivyo katika nuru; kwa maneno mengine, inamaanisha tembea katika mustakabali wa nuru ya Mungu kwa ajili yako katika Kristo, kama ilivyofunuliwa kwenye Neno.

Bible Reading Plan

Annual : Marko 15:1-20 & Hesabu 32-33
Bi-Annual : Matayo 22:15-22 & Kutoka 21



THUBUTU KUAMINI March 13th, 2019

March 13th, 2019


Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye (Marko 9:23).

Wengi leo hii wanataabika kufanikiwa, wanahangaika kila siku kufikia malengo. Lakini Neno linasema kuwa wewe ni mrithi wa Mungu na mrithi pamoja na Kristo. Una urithi ndani ya Kristo, ambaye Anamiliki ulimwengu mzima na yote yaliyomo ndani yake. 

Wewe ni uzao wa Ibrahimu; utajiri wako na ustawi u ndani ya Kristo; hii ni kweli mahususi [Iliyo timilifu]. Biblia inasema, “Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake” (Zaburi 24:1). Ulimwengu ni milki [mali] yako; thubutu kuliamini hili. Hicho ndicho tusomacho katika mstari wetu wa ufunguzi; endapo utaliamini hili, litadhihirika katika maisha yako.

Biblia inasema kuwa Ibrahimu “…hakusita kwa kutokuamini, bali alitiwa nguvu kwa imani, akimtukuza Mungu” (Warumi 4:20). Utajiri wake ulikuja kwa namna gani? Biblia inasema kwamba Mungu alimbariki: “…nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa” (Mwanzo 12:2-3) (Soma Mwanzo 13:2, Mwanzo 24:5, Wagalatia 3:9).

Amini hili na kweli zote za Neno la Mungu kuhusiana na urithi wako katika Kristo. Amini kuwa Mungu ndiye yule aliyesema ndiye, Ameshakupa kile alichosema Amekupa, na unacho kile alichosema unacho. Jivingire kwa uelewa huu, nawe utaishi siku zako zote katika ustawi, na miaka yako katika utele.


Prayer

Baba mpendwa, ninakuamini kwa maisha yangu, nikitambua ya kuwa chochote kilichowekwa Kwako kinatunzwa milele; nimehifadhiwa na kulindwa dhidi ya uharibifu na ubatili ulio katika dunia hii, na ustawi wangu ni wa milele. Ninaenenda katika baraka Zako, na katika uelewa [ufahamu] wa haki yangu, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Waroma 4:3; Wagalatia 3:6; 2 Wakorinto 4:13

Excerpt

Wengi leo hii wanataabika kufanikiwa, wanahangaika kila siku kufikia malengo. Lakini Neno linasema kuwa wewe ni mrithi wa Mungu na mrithi pamoja na Kristo. Una urithi ndani ya Kristo, ambaye Anamiliki ulimwengu mzima na yote yaliyomo ndani yake.

Bible Reading Plan

Annual : Marko 15:21-47 & Hesabu 34-36
Bi-Annual : Matayo 22:23-33 & Kutoka 22



THE MOMENT OF FAITH March 14th, 2019

March 14th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

For it is God which worketh in you both to will and to do of his good pleasure (Philippians 2:13).

In Jude 1:20, we read something striking; it says,“But ye, beloved, building up yourselves on your most holy faith, praying in the Holy Ghost.” The word, “building” as used by the Apostle Jude doesn’t mean building something afresh or from scratch; it’s the Greek word, “epoikodomeo.” It means to build on, or build upon; building on an already existing foundation.

Now, the Bible lets us know that God has dealt to every man the measure of faith (Romans 12:3); the faith given to you by God is the foundation you need to build upon for a life of success, prosperity, victory, divine health and glory as God wants.

Oftentimes, as you hear God’s Word, faith comes to you strong, and you’re inspired to take certain actions. That’s your moment of faith; that’s the time you must act. If you delay, that faith could wane or dissipate, because it came in the Word that you heard at that time. What you do when faith comes to you like that is to take action, and then keep feeding your faith to keep it virile.

Our theme verse says God is the one that works in you both to will and to do of His good pleasure. All that time you were inspired and thought to do something for the Lord or take an action for the Gospel, it was God working His purpose in you. Once you’ve taken the steps, don’t let your faith down; build on it, because there’s more to do; keep the faith on. This is where some miss it; they don’t realize that they have to build their faith continually; so, they find themselves vacillating, staggering at the Word of God through unbelief.

When you hear God’s Word and faith comes to you, act immediately; hold on to the vision, and let nothing stop you. Maybe it’s a teaching about giving, and your faith is stirred up to give, go ahead and do so immediately; seize that hour of faith and act on the Word.

Never let the zeal of your faith wane. Keep your faith afire; build and nourish it with the Word of God. Don’t allow space for negative thoughts that’ll breed doubts, and delay your blessing for acting on the Word.


Prayer

Dear Father, I thank you, for you take pleasure in my prosperity. Thank you for your blessings that I receive and enjoy today, and for showing me the key to a victorious faith-walk, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

Romans 10:17; James 1:22-25; Hebrews 11:1

Excerpt

As you hear God’s Word, faith comes to you strong, and you’re inspired to take certain actions. If you delay, that faith could wane or dissipate, because it came in the Word that you heard at that time.

Bible Reading Plan

Annual : Mark 16:1-20 & Deuteronomy 1-2
Bi-Annual : Matthew 22:34-46 & Exodus 23



COMPELLED BY THE TRUTH OF THE GOSPEL March 15th, 2019

March 15th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

For we have not followed cunningly devised fables, when we made known unto you the power and coming of our Lord Jesus Christ, but were eyewitnesses of his majesty (2 Peter 1:16).

The first thing that should compel you about preaching the Gospel of Jesus Christ is the truth of the Gospel. The Gospel isn’t an assumption or some fairytale. Peter said, “We have not followed cunningly devised fables”; this Gospel is truth.

Secondly, the content of the Gospel, what it states, is most compelling: that Christ Jesus came into the world to save sinners, and that He was, and is, the Son of God in truth—God in the flesh. Moreover, He was crucified on the Cross, and died for us. He was buried, and God raised Him from the dead, and He’s alive today; His death on the Cross was a sacrifice for the sins of the world.

When Jesus died, we died in Him; when He was buried, we were buried in Him; when God raised Him back to life, we were raised together with Him, and because He lives, we live. Hallelujah! These are our convictions about Christ and the Gospel! 2 Corinthians 5:21 says, “For he hath made him to be sin for us, who knew no sin; that we might be made the righteousness of God in him.”

Think about it: one who knew no sin was made sin for us, that we might be made the righteousness of God in Him, so that whereas we were dead in sin, now in Him, we live! What a message! There’s nothing like it in the world; it’s the greatest story ever told; the greatest news of all time!

Now, to think that this is the Gospel that Abraham looked forward to, that Isaac and Jacob and the patriarchs looked forward to and prophesied about; to think that this is the Gospel that we’ve embraced, and has become so real to our spirits, is overwhelming. It’s an unending song, an ever-flowing stream of unending joy.

When you think about Jesus, and what the Gospel means, and all that He’s done for you, you should be compelled to preach it more than ever. Refuse to be quiet; tell it everywhere.


Prayer

I’m compelled by the truth of the Gospel to preach it around the world. The zeal of the Lord propels me to proclaim liberty to the captives, and turn men from darkness to light, and from the power of Satan to God. The Lord Himself is effectually at work in me—His power and desire—to fulfil His delight and please Him in all things. Amen.

Further Study

Romans 1:16; I Corinthians 9:16-23

Excerpt

The first thing that should compel you about preaching the Gospel of Jesus Christ is the truth of the Gospel. The Gospel isn’t an assumption or some fairytale; this Gospel is truth.

Bible Reading Plan

Annual : Luke 1:1-25 & Deuteronomy 3-4
Bi-Annual : Matthew 23:1-12 & Exodus 24



ABSOLUTE REST IN CHRIST March 16th, 2019

March 16th, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

There remaineth therefore a rest to the people of God. For he that is entered into his rest, he also hath ceased from his own works, as God did from his. Let us labour therefore to enter into that rest, lest any man fall after the same example of unbelief (Hebrews 4:9-11).

The life that Christ has given you is one of absolute rest and peace. It makes no difference how dire things get or the challenges you face; your victory is guaranteed. You and Christ are one, and because you’re in union with Him, you can never be disadvantaged; you’re triumphant always and in every place; you’re unshakable.

An old songwriter said, “He never said you’ll only see sunshine; He never said there’d be no rain, but He surely promised us a heart full of singing.” In other words, come what may, you’re a victor. Some people aren’t sure what life has in store for them; they live with uncertainty. But in Christ, there’s assurance.

Romans 8:35-37 says, “Who shall separate us from the love of Christ? shall tribulation, or distress, or persecution, or famine, or nakedness, or peril, or sword? As it is written, For thy sake we are killed all the day long; we are accounted as sheep for the slaughter. Nay, in all these things we are more than conquerors through him that loved us.” Refuse to be stressed over anything, because you’re in God’s rest, and have ceased from life’s struggles. The Bible says “…he that is entered into his rest, he also hath ceased from his own works, as God did from his” (Hebrews 4:10).

Don’t allow anyone or circumstance cheat you out of the life of absolute rest in Christ that you’re called to live; a life of peace with prosperity. And remember, the way to sustain yourself in this glorious life is living by faith in the Word; applying the Word in all that you do. Hallelujah!


Prayer

Dear Father, I thank you for your immeasurable love for me; you finished the works from the foundation of the world, and called me into your rest. I’m in your rest now, living in the peace of prosperity. I refuse to struggle or fret over anything, as I enjoy my triumphant life in Christ, in Jesus’ Name. Amen.

Further Study

Hebrews 4:3; Colossians 1:26-27

Excerpt

The life that Christ has given you is one of absolute rest and peace. It makes no difference how dire things get or the challenges you face; your victory is guaranteed.

Bible Reading Plan

Annual : Luke 1:26-56 & Deuteronomy 5-7
Bi-Annual : Matthew 23:13-22 & Exodus 25



ISHI KWA IMANI YAKE March 17th, 2019

March 17th, 2019


…Na uzima niishio sasa katika mwili, ninauishi katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu (Wagalatia 2:20 Biblia toleo la KJV).

 

Pindi Yesu alipokufa msalabani, Alijua ya kuwa endapo tutapata kusikia juu ya pendo Lake, tutaamini na kuwa mmoja pamoja na Yeye. Alikuwa na imani katika kile Alichokitenda, yaani katika dhabihu Yake kwa ajili yetu. Aliamini kuwa tutafanyika kuwa kila kitu ambacho kifo Chake, kuzikwa Kwake, na kufufuka Kwake kutaleta. Hiyo ndiyo imani ya Mwana wa Mungu ambayo kwayo tunapaswa kuishi.

Fikiri juu ya hilo katika namna hii: Hebu fikiri kuwa una mtoto ambaye anakaribia kufanya mtihani wake wa mwisho. Na mtihani huo una gharimu sana kiasi kikubwa cha fedha, lakini u tayari kuhatarisha kila kitu. Hivyo, unamwambia mtoto wako, “Mwanangu, hela yote tuliyonayo kwa sasa ndiyo tutakayolipa ili wewe ufanye mtihani wako wa mwisho, lakini hilo si kitu, kwa sababu tunaamini utakuja kufanikiwa, na kwa matokeo yake, mambo yatabadilika katika familia.”

Sasa, mwanao anatambua kuwa tumaini la familia nzima liko juu yake; anatambua kuwa anapaswa kufanikiwa [kufaulu] mtihani huu; hawezi kukubali kuiangusha familia. Hivyo, ataitendea kazi imani yako kwake, ambayo itakuwa ndiyo msukumo wake. Rafiki zake wanaweza wakawa wanafanya starehe, lakini yeye atachukua hatua tofauti, kwa sababu anajua umewekeza kila kitu kwake, na kutaka kukufurahisha [kukuridhisha] kwa imani uliyonayo kwake.

Hilo Linafanana na Wagalatia 2:20: maisha tunayoyaishi sasa, tunayaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu ambaye alitupenda na kuacha yote kwa ajili yetu; hatuwezi kufeli au kumwangusha. Hii ndiyo sababu ni lazima uishi maisha yako kwa utofauti, weka ufahamu wako Kwake, na katika mambo yaliyo juu, na sio katika vitu vya duniani au vya kimwili! Dhamiria kuwa utaishi katika, na kudhihirisha, baraka kamili za Injili ambazo ni zako katika Kristo. Ishi kwa kutimiza ndoto Yake; matarajio Yake; ishi kwa imani ya Mwana wa Mungu!


Prayer

Nilisulubiwa pamoja na Kristo, lakini ni hai; walakini si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu, na uzima niishio sasa katika mwili, ninauishi kwa imani imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, na kujitoa nafsi Yake kwa ajili yangu! Maisha yangu daima ni kwa ajili ya utukufu Wake! Haleluya.

Further Study

Wakolosai 3:1-3; Matayo 6:33; 1 Yohane 2:15-17

Excerpt

Pindi Yesu alipokufa msalabani, Alijua ya kuwa endapo tutapata kusikia juu ya pendo Lake, tutaamini na kuwa mmoja pamoja na Yeye. Hiyo ndiyo imani ya Mwana wa Mungu ambayo kwayo tunapaswa kuishi.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 1:57-80 & Kumbukumbu la Torati 8-10
Bi-Annual : Matayo 23:23-39 & Kutoka 26



UNAMWAKILISHA YEYE March 18th, 2019

March 18th, 2019


Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu. Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi zake. Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha ile, ili kwamba mtu ye yote asije akaanguka kwa mfano uo huo wa kuasi (Waebrania 4:9-11).

Maisha ambayo Kristo amekupa ni yale ya pumziko kamili [halisi] na amani. Haijalishi ni kwa namna gani jinsi ambavyo mambo yamekuwamabaya au magumu, au changamoto unazopitia; ushindi wako umehakikishwa; wewe na Kristo ni mmoja [si wawili], na kwa sababu uko katika muunganiko pamoja Naye, kamwe hauwezi kuwa mhanga; wewe ni mshindi daima na katika kila eneo; wewe hutikisiki.

Mwandishi wa nyimbo wa zamani alisema, “Yeye kamwe hakusema utaona jua tu; Yeye kamwe hakusema kuwa hakutokuwa na mvua, lakini hakika Yeye alituahidi moyo uliojawa na nyimbo [moyo wenye kuimba].” Kwa maneno mengine, haijalishi ni kitu gani kimetokea; wewe ni mshindi. Kuna baadhi ya watu hawana hakika ya kile kitakachotokea katika maisha yao; wanaishi katika hofu na mashaka. Lakini katika Kristo, kuna hakikisho [uthibitisho].

Warumi 8:35-37 unasema, “Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga? Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, Tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa. Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.” Kataa kufadhaishwa na kitu chochote, kwa sababu u katika pumziko la Mungu, na umekoma dhidi ya mihangaiko ya kimaisha. Biblia inasema, “…Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake amestarehe mwenyewe katika kazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi zake…” (Waebrania 4:10).

Kamwe usimruhusu mtu ye yote au hali yo yote kukuhadaa na kukuchota kwa kukuweka nje ya maisha ya pumziko kamili ndani ya Kristo ambayo umeitwa kuyaishi; ni maisha ya amani pamoja na ustawi. Na kumbuka, njia ya kujishikilia [kujitegemeza] mwenyewe katika maisha haya ya kitukufu ni kwa kuishi kwa imani katika Neno la Mungu; kwa kuliweka Neno katika utendaji katika mambo yote unayoyatenda. Haleluya!


Prayer

Baba Mpendwa, ninakushukuru kwa pendo Lako lisilo na mwisho kwa ajili yangu; ulizikamilisha kazi zote tangu kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, na kuniitia katika pumziko Lako. Mimi nipo katika pumziko Lako sasa, nikiishi katika amani ya ustawi. Ninakataa kutaabika au kuchanganyikiwa kwa shinikizo la jambo lo lote, kwa jinsi ambavyo niyafurahia maisha yangu ya ushindi maridhawa ndani ya Kristo, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Waebrania 4:3; Wakolosai 1:26-27

Excerpt

Ishi kila siku kwa uelewa kuwa wewe ni mwakilishi wa Yesu Kristo; usisahau kamwe kuwa wewe ni nani; usichukue likizo ya kutoka nje ya utambulisho wako pamoja Naye.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 1:26-56 & Kumbukumbu la Torati 5-7
Bi-Annual : Matayo 23:13-22 & Kutoka 25



USIRUHUSU VISHAWISHI March 19th, 2019

March 19th, 2019


Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake (1 Yohana 2:15).

Kristo Yesu tayari Ameshakupa kila kitu unachohitaji ili kuwa mshindi, mfanikiwa, na mwenye ustawi katika maisha. Kwa hiyo, hauna sababu yo yote ya kushawishika au kuondoa shabaha yako katika kuutimiza mwito Wake katika maisha yako.

Vishawishi vinaweza kuja katika njia tofauti-tofauti ili kuzorotesha shauku yako, na kukuzuia kuwa yale yote ambayo Bwana amekukusudia uwe. Vishawishi hivyo vinaweza kuja katika mfumo wa mahitaji; mambo unayotaka au mambo unayotaka kufanya, pasipo kujali yanatenda kazi au la. Vishawishi pia vinaweza kuja kutoka kwa watu kama ndugu, wazazi, marafiki, ambao wanajaribu kuihamisha shabaha yako kwenda katika kitu kingine ambacho ni tofauti na mwito wa Mungu katika maisha yako.

Hata hivyo, kwa njia yo yote au katika kivuli chochote kile cha ushawishi kinachotumika kukujia, kataa kuviruhusu. Tambua kuwa kama Mkristo, haswa pale ambapo unasababisha athari kwa kupitia Injili, utakumbana na udhia [mateso]; kutakuwa na wale watakaokuwa kinyume chako, au hata kukuchukia, lakini hilo kamwe halipaswi kuwa ni kitu cha kukushangaza hata kidogo. Yesu alisema, “Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi pia” (Yohana 15:20). Lakini nikuambie kitu? Haijalishi, ni nani aliye kinyume chako. Wewe ni mshindi milele; wewe ni zaidi ya mshindi.

Vishawishi vinaweza vikatoka kwa ibilisi pia. Anaweza akaleta mawazo kwako kama ya, “Unafikiri unatakiwa kuwa Mkristo? Huu Ukristo umewahi kukufanyia kitu gani?” Kamwe usikae kuendekeza mawazo ya namna hiyo; pindi yanapokuja, yapinge na tamka. “Toka hapa, Shetani, kwa maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”

Endelea kulichochea pendo lako kwa Bwana, na kataa kuruhusu kitu chochote kuharibu bidii [shauku] yako: chochote kile ambacho kitakuzuia kuweka ubora wako wote katika Injili. Mara tu utakapokuwa umeweza kuondoa vishawishi katika maisha yako, utaona maboresho ya ajabu katika utu wako, matokeo na ushawishi. Dumisha shabaha yako; kuwa bora kabisa kwa kiwango cha juu kwa ajili ya Bwana na Ufalme Wake wa milele.


Prayer

Maisha yangu ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu; umakini wangu u kwa Yesu, mwanzilishi na mwenye kuikamilisha imani yangu! Ninakataa kushawishwa na mtu ye yote au kitu chochote katika dunia hii, nimewekwa katika mwendo ambao lazima niumalize. Ninatimiza mwito wa Mungu na kusudi la maisha yangu, na daima, nguvu zangu zinahuishwa katika Yeye. Atukuzwe Mungu!

Further Study

1 Wakorinto 7:35 NLT; Waebrania 12:1-4

Excerpt

Kristo Yesu tayari Ameshakupa kila kitu unachohitaji ili kuwa mshindi, mfanikiwa, na mwenye ustawi katika maisha. Kwa hiyo, hauna sababu yo yote ya kushawishika au kuondoa shabaha yako katika kuutimiza mwito Wake katika maisha yako.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 2:21-52 & Kumbukumbu la Torati 13-15
Bi-Annual : Matayo 24:12-22 & Kutoka 28



EPUKA MAHUSIANO MABAYA March 20th, 2019

March 20th, 2019


Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao (Warumi 16:17).

Andiko letu hapo juu linatuasa kuwatambua na kujiepusha na wale wanaosababisha matengano [fitina] na wenye kukwaza kinyume cha mafundisho ya Kristo. Umefundishwa pendo la Kristo; umefunzwa na Neno la Mungu katika njia yaani uelekeo fulani; endelea katika Neno; weka alama na jiepushe na wale wanaoishi kinyume cha kweli ya Injili; kweli ambayo umefundishwa. Haya ni maagizo ya Mungu. Ni onyo lile lile Alilolitoa kupitia Mtume Paulo kwa Kanisa la Wafilipi; alisema, “Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao"(Wafilipi 3:2).

Sasa, onyo hili kwanza kabisa ni kukaa mbali na wale ambao wapo kanisani lakini hawaifuati kweli, ambao wanasababisha magomvi na fitina. Pindi unapoona kiashiria katika nyumba ambacho kinasema, “Tahadhari kuna mbwa wakali,” kiashiria hicho hakikuhabarishi juu ya mbwa nje ya nyumba hiyo, bali mbwa walio ndani katika nyumba hiyo. Hivyo, pindi Mtume Paulo aliposema, “Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao” alikuwa akimaanisha watu wenye kusababisha fitina [hila] walio ndani ya Kanisa.

Hawa wanaweza kuwa ni watu katika Kanisa unakosali [Kanisa la mtaani kwako], seli iyo hiyo, mtaa uo huo, kaya iyo hiyo, ofisi, n.k., na ni Wakristo. Asingekuonya kuwa na tahadhari na watu hao endapo Asingeona kuwa mahusiano yao pamoja nawe yasingekuwa na madhara katika mwenendo wako wa Kikristo. Wengi wamejikuta katika tafrani kubwa kwa kujihusisha na watu wasio sahihi. Onyo la Bwana liko wazi: kwamba “wamaki” na “jiepushe” na watu wenye kusababisha fitina, na sio kujaribu kuwabadilisha. Usiwe na ushirikiano na watu ambao kwa makusudi hawatembei katika upendo, watu wanaosabisha mafarakano ndani ya Kanisa; watu wenye hulka ya kuwapotosha wengine.

Watu hujikuta katika mikanganyiko pindi wanapojihusisha na mtu mwenye mkanganyiko. 1 Wakorintho 15:33 unasema, “Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.” Endapo ulikuwa na, au una marafiki ambao katika kujihusisha nao hujaona maendeleo yo yote ya kiroho, au kupitia urafiki wao umedhoofisha ufanisi wako katika Injili, ni wakati wa kuachana na urafiki wa namna hiyo. Usijiulize mara mbili [usijadili]; bali sitisha urafiki huo, ili ushiriki wako katika imani—maisha yako ya Kikristo—yawe na ufanisi kama vile yanavyopaswa kuwa. Utukufu kwa Mungu!


Prayer

Baba mpendwa, ahsante, kwa maana Neno Lako lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki. Kupitia Neno, nimefunzwa na kukuzwa katika utamaduni wa maisha ya utauwa na njia za kufanya mambo. Nimejawa kwa mawazo ya haki, na kuenenda katika njia za haki, ambazo uliziandaa tokea awali kwa ajili yangu, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Waroma 16:17-18; 2 Timoteo 3:2-5 AMPC

Excerpt

Watu hujikuta katika mikanganyiko pindi wanapojihusisha na mtu mwenye mkanganyiko. Endapo ulikuwa na, au una marafiki ambao katika kujihusisha nao hujaona maendeleo yo yote ya kiroho, ni wakati wa kuachana na urafiki wa namna hiyo.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 3:1-38 & Kumbukumbu la Torati 16-17
Bi-Annual : Matayo 24:23-33 & Kutoka 29



HAKUNA UKOMO KATIKA UWEZO NA UJUZI WAKO March 21st, 2019

March 21st, 2019


…Nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina (Kutoka 31:1-3).

Hakuna kitu chochote ambacho Roho Mtakatifu hawezi kukufundisha; hakuna! Unaweza kukuta mtu ambaye, japo si Mkristo ila anaonekana kuwa na ujuzi au na maarifa zaidi katika eneo [nyanja] fulani kuliko vile wewe ulivyo, lakini kweli ni, endapo utajiachilia katika maarifa hayo au ujuzi huo, unaweza kuwa mara elfu zaidi kuliko mtu huyo. Hili linatokea kwa jinsi unavyoenenda katika, na kwa Roho, kwa maana Biblia inasema, “…Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema Bwana wa majeshi” (Zekaria 4:6).

Mafanikio ya kweli ni kwa Roho. Hivyo, kuendelea kujaa Roho daima si suala la mjadala [ucgaguzi]. Pindi unapokuwa umejawa na Roho, utaenenda, na kutenda kwa Roho; mafanikio yako yatakuwa hayana ukomo; ujuzi na uwezo wako utakuwa hauna ukomo. Tunasoma katika mstari wetu wa ufunguzi kumhusu Bezaleli; Biblia inasema alikuwa bora katika kazi za ustadi wa kila namna! Na unajua nini? Roho yule yule Aliyemfanya Bezaleli kuwa mfanikiwa kwa kiwango kile yu ndani yako leo. Hakuna kitu ambacho huwezi kutenda, na hakuna kitu ambacho huwezi kujua au kuwa na ujuzi kukihusu.

Yesu alisema katika Yohana 14:26 kwamba Roho Mtakatifu atawafundisha MAMBO yote; na sio baadhi ya vitu! Hili ni jukumu Lake na huduma Yake katika maisha yako. Ametumwa na Mungu ili kukufundisha kila kitu unachohitaji kujua kuhusiana na maisha. Yeye ni mwalimu bora; mwalimu wa kweli! Jiachilie na jinyenyekeshe kwa Roho Mtakatifu, Naye atakuhamasisha kwa ajili ya mafanikio, Atakuchochea kwa ajili ya ustawi, na kukupangilia [kukuandaaa] kwa ajili ya ukuu! Inawezekanaje kuchanganyikiwa wakati Mwalimu wako, Roho Mtakatifu, anajua mambo yote? Haiwezekani.

Tatizo ni, wengi sana hawajachukulia kwa manufaa yao uwepo wa Roho Mtakatifu na huduma Yake katika maisha yao. Kwa jinsi unavyojaa Roho, utagundua kuwa wewe ni mtatua changamoto; mtoa suluhisho. Je! Ni kile unachotaka kukijua au kuwa na uwezo wa kukifanya? Muombe Roho Mtakatifu akusaidie, na kisha itende kazi; chukua hatua. Yumkini ni kitu kuhusiana na masomo yako, kazi yako, mradi, chochote kile, Anaweza kukufundisha nawe utakuwa bora sana. Utukufu kwa Mungu!


Prayer

Roho Mtakatifu anaishi ndani yangu leo katika utimilifu Wake wote! Akinisaidia mimi kuwa bora, na kuzalisha ubora pekee, na daima. Hakuna ukomo katika uwezo na ujuzi wangu, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Kutoka 31:1-6 NLT; Yohane 14:26; 2 Wakorinto 3:5 AMPC

Excerpt

Inawezekanaje kuchanganyikiwa wakati Mwalimu wako, Roho Mtakatifu, anajua mambo yote? Haiwezekani. Jiachilie na jinyenyekeshe kwa Roho Mtakatifu, Naye atakuhamasisha kwa ajili ya mafanikio, Atakuchochea kwa ajili ya ustawi, na kukupangilia [kukuandaaa] kwa ajili ya ukuu!

Bible Reading Plan

Annual : Luka 4:1-13 & Kumbukumbu la Torati 18-21
Bi-Annual : Matayo 24:34-44 & Kutoka 30



YOTE HAYO NDIYO YA MUHIMU March 22nd, 2019

March 22nd, 2019


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee ijara ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, kwamba ni mema au mabaya (2 Wakorintho 5:10).

Kama Mkristo, kila fursa ya utumishi ambayo Mungu anakupa ni ya thamani, na ina umuhimu mkubwa katika Ufalme. Unapaswa kutambua kuwa kila mmoja wetu atatoa hesabu mbele za Mungu kwa maisha tuliyoyaishi na kwa yote ambayo Alituamuru kufanya. Utatoa hesabu mbele Zake kwa ushiriki wako katika huduma ya Injili; hicho ndicho tulichokisoma katika mstari wetu wa ufunguzi.

Wakati mwingine, tunapojihusisha na kitu fulani, iwe ni shughuli au mradi, mara nyingi tunajisahau juu ya halisia za muhimu. Mara nyingi watu hawasimami nje yao yaani hawajitathmini njia zao na matendo yao. Na hivyo, wengi hawatambui kuwa matendo yao ni ujumbe wa kila siku, ambayo ni lazima watatoa hesabu mbele za Mungu.

Unapaswa kukumbuka kuwa huduma yako kwa Mungu, na kumtumikia Mungu, vinaandikwa katika Kitabu cha Mungu. Kila neno ulilotamka, kila kitendo cha maisha yako, kipo katika Kitabu cha Mungu. Habari yako inaandikwa na Mungu; wewe ndio wa kuhamasisha habari hiyo. Ana mpango ambao tayari Alishauandika kuhusiana na wewe, lakini pia wewe unaandika habari yako binafsi kila siku katika njia na namna ambavyo unayaishi maisha yako.

 

Siku moja, kutakuwa na mlinganisho kati ya maisha ambayo Mungu aliyachora kwa ajili yako, maisha Aliyoyakusudia kwa ajili yako, na kile ambacho hatimaye ulifanyika kuwa; jinsi ambavyo uliishi. Na thawabu yako itakuwa kulingana na maisha uliyoyaishi yakilinganishwa na kile ambacho Alikichora kwa ajili yako [alichokuwa Amekukusudia].

Jambo la muhimu sana katika maisha yako ni kuvumbua kusudi la Mungu kwa ajili ya maisha yako, na kulitimiza. Hakuna kitu hapa duniani kinachoweza kulinganishwa na kumtumikia Bwana na kuishi kwa ajili Yake. Hakuna kitu kinachoweza kuwa kizuri zaidi kwa wakati na umilele kuliko kuishi kwa ajili ya Yesu; Yeye ndiyo wa yote yaliyo ya muhimu: “Tena alikufa kwa ajili ya wote, ili walio hai wasiwe hai tena kwa ajili ya nafsi zao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye aliyekufa akafufuka kwa ajili yao” (2 Wakorintho 5:15).


Prayer

Nimefufuliwa pamoja na Kristo, na ufahamu wangu umewekwa katika mambo yaliyo juu, ambapo Kristo ameketi katika mkono wa kuume wa Mungu. Ninakupenda Bwana kwa moyo wangu wote, na kuishi kwa ajili Yako ndiyo kila kitu kwangu, na kuwa wa muhimu katika upanuzi wa Ufalme Wako, na uanzilishaji wa haki Yako hapa duniani. Haleluya!

Further Study

1 Wakorinto 3:12-15; 1 Wakorinto 10:31 AMPC; Wakolosai 3:1-4

Excerpt

Kama Mkristo, kila fursa ya utumishi ambayo Mungu anakupa ni ya thamani, na ina umuhimu mkubwa katika Ufalme. Unapaswa kutambua kuwa kila mmoja wetu atatoa hesabu mbele za Mungu kwa maisha tuliyoyaishi na kwa yote ambayo Alituamuru kufanya.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 4:14-44 & Kumbukumbu la Torati 22-24
Bi-Annual : Matayo 24:45-51 & Kutoka 31



THE DIVINE LIFE IN YOU March 23rd, 2019

March 23rd, 2019


By Pastor Chris Oyakhilome

These things have I written unto you that believe on the name of the Son of God; that ye may know that ye have eternal life… (1 John 5:13).

As a Christian, what you have isn’t a combination of the divine and human life; you don’t have two lives, but one—the divine life. This divine life and nature of God in your spirit has an impact on your physical body. The human life is sustained by blood (Leviticus 17:11). That’s the reason blood diseases are very deadly, because they attack the whole body.

When Jesus died on the Cross, something interesting transpired. A Roman soldier thrust a spear through His side, and “blood and water gushed out.” His heart had ruptured, and all His blood drained out. His body was buried without blood. When He was raised from the dead, the resurrected body of Jesus had no blood.

Where then did the life of the body of Jesus come from? After all, He didn’t come back to life as a Ghost, He resurrected in flesh. The Bible tells us He was raised from the dead by the glory of the Father; that’s the Holy Ghost! The Holy Ghost overshadowed the dead body of Jesus, quickened it, and Jesus came back to life; His body being without blood.

Now that you’re born again, you have the same life with which Jesus was raised from the dead. Romans 8:11 says, “But if the Spirit of him that raised up Jesus from the dead dwell in you, he that raised up Christ from the dead shall also quicken your mortal bodies by his Spirit that dwelleth in you.” This has already happened! Your physical body, your hitherto death-doomed and death-prone body has been rejuvenated, reinvigorated, and vitalized by the Holy Ghost who lives in you.

This is the reason sickness, for the Christian, is estranged; it’s an anomaly; it’s not supposed to be, because the life in you is divine. Hallelujah! Meditate on this truth, and endorse it in your personal life and you’ll forever live above sickness, disease, defeat and all the depravities that affect the human nature.


Prayer

I’ve got the life of God in me; it’s in every fibre of my being, in every cell of my blood and in every bone of my body. I live above sickness, disease, defeat and all the depravities that affect the human nature, as a result of the divine life and nature of God in me. Hallelujah!

Further Study

1 Peter 1:23; 1 John 4:17; 1 John 5:11-13

Excerpt

As a Christian, what you have isn’t a combination of the divine and human life; you don’t have two lives, but one—the divine life.

Bible Reading Plan

Annual : Luke 5:1-16 & Deuteronomy 25-27
Bi-Annual : Matthew 25:1-13 & Exodus 32



TULIOVIKWA TAJI YA UTUKUFU NA HESHIMA March 24th, 2019

March 24th, 2019


Ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu (Wakolosai 1:27).

Wengi wanafikiri kuwa Ukristo uliturudisha katika kile ambacho Adamu na Hawa walikuwa au walichokuwa nacho katika Bustani ya Edeni, lakini hilo si kweli. Kile tulichonacho ni utukufu mkuu zaidi (2 Wakorintho 3:10). Kwa kuzaliwa mara ya pili, haujazaliwa kutokana na Adamu wa kwanza bali umezaliwa kutokana na Adamu wa pili na wa mwisho, Yesu Kristo. Maandiko yanasema, “Mtu wa kwanza, Adamu, akawa nafsi hai. Bali Adamu wa mwisho—ambaye ni, Kristo—ni roho yenye kuhuisha”

(1 Wakorintho 15:45 Biblia toleo la NLT).

Ninataka uangalie kwa makini njeo [wakati] uliotumika katika Warumi 8:30 kwa tunavyosoma kutoka katika Agano Jipya la Biblia ya toleo la Weymounth: “na wale Yeye aliowachagua tangu asili pia Aliwaita; na wale ambao Yeye aliwaita pia Alitangaza kuwa hawana hatia; na wale ambao Yeye alitamka kuwa hawana hatia hao pia Aliwavika taji ya utukufu.” Hapa, tunaona vitambulishi vya muhimu kuhusiana na kiumbe kipya, tu matunda yaani matokeo ya kazi ya ukombozi ya Kristo; ambapo mojawapo ni kuwa umevikwa utukufu. Hii ina maana kwamba umeletwa katika maisha ya uzuri na ubora.

Zaidi sana, katika 1 Petro 5:10 tunasoma kuwa Mungu amekuita katika utukufu Wake wa milele katika Kristo Yesu. Kweli kama hiyo pia imesisitizwa katika 2 Petro 1:3 (Biblia toleo la KJV): “Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye aliyetuita katika utukufu na ubora.” Umetukuzwa; sio kwa utukufu wowote mdogo, bali kwa utukufu ule ule ambao u juu ya Yesu. Alisema katika Yohana 17:22: “Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao…”

“Lakini je! Biblia haisemi katika Warumi 3:23 kuwa wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu?” Mtu anaweza akahoji. Unapaswa kujua hilo lilikuwa ni kabla ya Yesu kuja. Watu wote walitengwa mbali na utukufu wa Mungu kwa sababu ya dhambi, lakini Yesu, kupitia kifo Chake, alizigongomelea dhambi pale msalabani na kutuleta katika utukufu; na sio katika utukufu ambao Adamu na Hawa walikuwa nao, bali katika utukufu wake Mwenyewe; Alikutukuza wewe kwa Yeye mwenyewe.

Ikimzungumzia Yesu, Waebrania 2:9 inatujulisha kwamba Mungu amemvika taji ya utukufu na heshima. Kisha katika 1 Yohana 4:17 tunasoma kuwa na kama Yeye alivyo, ndivyo tulivyo ulimwenguni humu. Atukuzwe Mungu! Umevikwa taji ya utukufu na heshima kama Yesu. Maisha yako si kwa ajili ya fedheha [aibu]; bali kwa ajili ya utukufu, uzuri, ubora na heshima. Haleluya!


Prayer

Maisha yangu ni bora na yaliyojawa na utukufu; nimevikwa taji ya haki na heshima, na shauku [furaha] ya Bwana inafanikiwa kupitia mimi. Kristo ametukuzwa ndani yangu leo, na daima milele yote; maisha yangu ni kwa ajili ya utukufu Wake. Haleluya!

Further Study

1 Petro 5:10 AMPC; 1 Petro 2:9 AMPC

Excerpt

Wengi wanafikiri kuwa Ukristo uliturudisha katika kile ambacho Adamu na Hawa walikuwa au walichokuwa nacho katika Bustani ya Edeni, lakini hilo si kweli. Kile tulichonacho ni utukufu mkuu zaidi .

Bible Reading Plan

Annual : Luka 5:17-39 & Kumbukumbu la Torati 28
Bi-Annual : Matayo 25:14-30 & Kutoka 33



UJUMBE WA IMANI March 25th, 2019

March 25th, 2019


Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo (Warumi 10:17).

Pindi Yesu alipohudumu, imani ilichochewa na kuwa hai katika mioyo ya wale waliokuwa wanamsikiliza. Aliwajulisha kuwa Mungu ni nani, mpango yaani kusudi Lake la milele, na kile ambacho tayari Ameshakitenda kwa ajili yao. Alisema, “Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa” (Mathayo 7:7). Katika Marko 11:22-23, Aliwafundisha makutano, Akisema, “…Mwaminini

Mungu. Amin, nawaambia, Ye yote atakayeuambia mlima huu, Ng’oka ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake, ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.” Si Mafarisayo au Masadukayo waliwahi kufundisha kamwe namna hiyo kuhusiana na aina ya imani-ya-Mungu, kuhusu kuamini na kupokea. Wengi walishangazwa sana na mafundisho Yake, kwa sababu yalichochea imani katika mioyo yao kumwelekea Mungu. Walifikiri kuwa Mungu humbariki ye yote yule Aliyemchagua tu. Walikuwa wamedhani kwamba Mungu hawajali tena. Lakini Yesu aliwafundisha kuwa Mungu anampenda kila mtu pasipo masharti, na yote yale yaliyohitajika ili kupokea kutoka kwa Mungu ilikuwa ni kuamini tu: “…Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye” (Marko 9:23).

Kwa jinsi walivyokuwa wakimtazama Akitoa mapepo, akiponya vipofu, akiponya viziwi, na hata kufufua wafu kwa udhihirisho wa mamlaka yasiyo ya kawaida, wengi walishawishika na kuwa na imani katika pendo la Baba kwa ajili yao. Biblia inasema wengi wakaamini katika jina Lake, pindi walipoona miujiza Aliyoitenda (Yohana 2:23). Ujumbe Wake uliwafanya waweze kumuamini na kujihusisha na Mungu ambaye hawakuweza kumuona kwa macho yao ya nyama; Alimdhihirisha Baba katika hali ambayo Baba alikuwa halisi yaani dhahiri sana kwao kupitia ujumbe Wake wa imani.

Huo ndio ujumbe ule ule ambao Ametutuma kuhubiri na kufundisha ulimwenguni kote. Alisema katika Yohana 20:21, “…kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.” Ikiwa leo, unakabiliwa na hali ambayo inaonekana kukosa ufumbuzi, unaweza ukamtumaini [ukamwamini] Mungu kwa ajili ya muujiza. Haijalishi ni kesi ya namna gani; amini tu! Haijalishi kuwa ni tumbo la uzazi lililokufa, mwili uliokufa, biashara iliyokufa, au tatizo jingine liwalo lote lile; Yeye ni Mungu mwenye “kuwahuisha” wafu! Anatoa uzima kwa waliokufa, na Anaweza kutoa pumzi ya uhai katika hali yo yote inayoonekana kufa. Utukufu kwa Jina Lake milele!


Prayer

Mpendwa Baba, wewe ni Mungu mkuu wa utukufu, na ninakuabudu kwa ukuu Wako, upendo Wako, rehema Zako, na fadhili Zako. Ahsante kwa kunipa maisha ya ushindi na ya utukufu katika Kristo; ninashinda leo na daima milele, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Waebrania 11:1 AMPC; 2 Wakorinto 4:18

Excerpt

Pindi Yesu alipohudumu, imani ilichochewa na kuwa hai katika mioyo ya wale waliokuwa wanamsikiliza. Aliwajulisha kuwa Mungu ni nani, mpango yaani kusudi Lake la milele, na kile ambacho tayari Ameshakitenda kwa ajili yao

Bible Reading Plan

Annual : Luka 6:1-16 & Kumbukumbu la Torati 29-30
Bi-Annual : Matayo 25:31-46 & Kutoka 34



ROHO MTAKATIFU NI BABA NDANI YAKO March 26th, 2019

March 26th, 2019


Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake (Yohana 14:10).

Bwana Yesu, pindi Alipoenenda hapa duniani, Alitembea katika shirika [mwungano] pamoja na Baba, na daima Alijawa ufahamu kuwa Baba yu ndani Yake na uwepo wa Baba ukaao ndani Yake. Pindi aliposema katika mstari wetu hapo juu, “…Baba akaaye ndani yangu...” Alikuwa akimaanisha Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu ni Roho wa Mungu. Yeye si tu ushawishi au upepo usiojulikanika, kama vile baadhi ya watu wanavyofikiri. Yeye ni Baba ambaye Anaishi ndani yako! Hayuko mbali.

Jawa na ufahamu kuwa hauko peke yako; wewe u ndani ya Baba, na Baba yu ndani yako! Wewe ni mmoja na Yeye. 1 Wakorintho 6:17 inazungumzia juu ya muunganiko wako pamoja na Baba usiotenganishika:

“Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.” Hii ndiyo sababu unaweza ukafurahia ushirika mzuri pamoja na Yeye, na kutembea katika muunganiko pamoja Naye. Yesu alikuja kufanya iwezekanike kuwa na muunganiko na ushirika wa kitukufu pamoja na Baba.

Hakuna haja ya kujaribu kumfikia Mungu kana kwamba yu mbali sana; kwa maana Yu ndani yako, na wewe u ndani Yake. 2 Wakorintho 5:17 inasema, “… mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya...”

Ulikuja ndani Yake (Kristo) kwa kuzaliwa upya. Hivyo, u ndani Yake sasa. Kisha katika Wakolosai 1:27, tunasoma kuwa Yu ndani yako; Kristo ndani yako. Hivyo, kama Yesu, wewe u ndani ya Baba, na Baba yu ndani yako kupitia Roho Mtakatifu. Haleluya!

Roho Mtakatifu yu ndani yako ili kukufunulia baraka za Mungu kwako, na kukufundisha namna ya kutembea katika baraka hizo. Tambua huduma Yake katika maisha yako, na hakutokuwa na hofu, hakutokuwa na woga tena, na hakutokuwa na giza katika maisha yako. Pamoja Naye, wewe ni mshindi na mfanikiwa milele yote.


Prayer

Mbarikiwa Roho Mtakatifu, ahsante kwa kunisafirisha kwa kunileta katika eneo langu la urithi wa Kiungu, kulitimiza kusudi langu katika Bwana. Unanisababisha mimi kutawala katika haki, na kuwa na amani, ustawi, afya ya Kiungu, na ushirika wa kitukufu pamoja Nawe; kwa haya na mengine mengi, nimejawa na shukurani. Uwepo Wako ndani yangu umenifanya mimi kuwa kuliko mwanadamu wa kawaida, ukisababisha utukufu Wako kufunuliwa daima kupitia mimi, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Yohane 14:16-17; Wafilipi 2:13; Wakolosai 1:26-27

Excerpt

Hakuna haja ya kujaribu kumfikia Mungu kana kwamba yu mbali sana; kwa maana Yu ndani yako, na wewe u ndani Yake.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 6:17-49 & Kumbukumbu la Torati 31-32
Bi-Annual : Matayo 26:1-13 & Kutoka 35



ALILITATUA TATIZO-LA-DHAMBI March 27th, 2019

March 27th, 2019


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu (Warumi 6:23).

Baadhi ya watu hufikiri tu hasira ya Mungu; wanaamini kuwa Anafukuta kwa hasira juu ulimwengu kutokea mbinguni, Akiitazamia siku ile ambayo hatimaye Atamhukumu mwanadamu na ulimwengu huu wa dhambi; hapana! Mungu hajali tena kuhusiana na dhambi kama vile ambavyo wengi wanafikiri. Alijali sana kuhusiana na dhambi, na kwa kujali Kwake alituma Yesu.

Leo, msisitizo hauko tena katika mshahara wa dhambi, ambao ni mauti, bali katika karama ya Mungu, ambayo ni uzima wa milele kupitia Kristo Yesu (Warumi 6:23). Mungu anataka ulimwengu mzima upokee wokovu ambao tayari Ameshafanya upatikanike katika Kristo Yesu. Biblia inasema kuwa Yeye hapendi mtu ye yote apotee, bali wote waifikilie toba (2 Petro 3:9).

Pindi Yesu alipokufa pale msalabani, tatizo la dhambi lilitatuliwa milele. Hivyo, dhambi si tatizo tena. Mauti, kuzikwa, na kufufuka kwa Yesu Kristo kulileta ukomo wa dhambi na kutuingiza katika maisha ya haki: “Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye” (2 Wakorintho 5:21).

Mungu hana hasira juu yako; Alitatua changamoto ya tatizo-la-dhambi katika, na kwa kupitia Kristo Yesu. Sasa unaweza kumfurahia kwa kile Alichokisema, “Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi…” (Warumi 6:14). Kile unachopaswa kufanya ni kuiamini haki Yake; amini kile Yesu alichokuja kukifanya! Wewe ni matunda— yaani matokeo ya kazi ya ukombozi wa Kristo. Kubali na enenda katika haki Yake, na ishi daima katika pendo Lake, utukufu Wake, na neema Yake.

2 Wakorintho 5:19 unasema, “Yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho.” Fikiri kuhusu hilo: Mungu wala hata hana hasira na mtu mwenye dhambi, achalia mbali wewe ambaye ni mzao Wake! Kwa hiyo, furahi na shangilia; Baba yako wa mbinguni anakupenda, na kamwe hakushutumu kuwa unawajibika kwa dhambi zako. Biblia inasema, “Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake” (Warumi 5:10). Ni wa rehema na fadhili kuu kiasi gani!


Prayer

Baba yangu wa mbinguni ananipenda mimi; nami ninamtumikia kwa furaha, nikimpendeza Yeye katika mambo yote! Mimi ni taji Yake na uzuri; haki Yake inasambaa kupitia mimi; neema Yake na pendo Lake linayafikia mataifa kupitia mimi; mimi ni nuru Yake katika ulimwengu wenye giza! Kupitia mimi Ufalme wa Mungu unaanzishwa katika mioyo ya wanadamu. Atukuzwe Mungu milele yote!

Further Study

Waroma 5:17; Waroma 6:11-13

Excerpt

Baadhi ya watu hufikiri tu hasira ya Mungu; wanaamini kuwa Anafukuta kwa hasira juu ulimwengu kutokea mbinguni, Akiitazamia siku ile ambayo hatimaye Atamhukumu mwanadamu na ulimwengu huu wa dhambi; hapana!

Bible Reading Plan

Annual : Luka 7:1-35 & Kumbukumbu la Torati 33-34
Bi-Annual : Matayo 26:14-25 & Kutoka 36



JITAZAME MWENYEWE KATIKA NENO March 28th, 2019

March 28th, 2019


Na sisi sote, kwa uso usiofunikwa, [kwa sababu sisi] tumeendelea kujitazama [katika Neno la Mungu] kama katika kioo kwa kuutazama utukufu wa Bwana, daima tunabadilishwa kuwa katika sura Yake mwenyewe kwa utukufu uongezekao daima na daima kutoka hatua moja ya utukufu hadi nyingine... (2 Wakorintho 3:18 Biblia toleo la AMPC).

Pindi unapojifunza Neno la Mungu, hakika unakuwa unatazama katika kioo cha Mungu, na kujiona mwenyewe. Kwa unavyojifunza Neno na kulitafakari, kile unachokiona katika Neno ni utukufu wa Mungu, na utukufu huo hakika ni akisi [taswira] yako ya kweli, kwa sababu Neno la Mungu linakuonyesha picha yako halisi. Linakuonesha utambulisho wako, asili yako, ujuzi na uwezo wako katika Kristo Yesu.

Pindi tunapohubiri Injili na kuwafundisha wengine Neno, tunakuwa tumeshikilia kioo cha Mungu mbele yao ili kwamba wapate kujiona wenyewe katika Neno, wajijue wao ni akina nani, vile vile na haki yao na uwezo wao katika Kristo! Mtu ambaye hata kufikia sasa alikuwa akifikiri kuwa yeye ni mwenye dhambi, asiyestahili na halistahili pendo la Mungu, ghafla anajiona kuwa anapendwa na Mungu. Yule aliyefikiri kuwa amehukumiwa ghafla anagundua kuwa Kristo amelipa gharama kwa ajili ya wokovu wake, na mara moja anaanza kutembea katika nuru hiyo. Hiyo ndiyo nguvu ya Neno la Mungu; nguvu hiyo inatenda kazi kwa kupitia kanuni ya kioo.

Neno halikuoneshi tu kuwa wewe ni nani, bali pia linakupa uwezo wa kuishi ipasavyo. Kwa mfano, 2 Wakorintho 5:21 inasema, “Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.” Angalia kwa umakini uchaguzi wa maneno, kama Mtume Paulo alivyohamasishwa na Roho wa Mungu katika mstari huu: Yesu Kristo alifanywa kuwa dhambi kwa ajili yako, ili kwamba wewe upate kufanywa haki ya Mungu katika Yeye! Hii ina maana kwamba umefanyika kuwa udhihirisho halisi wa haki Yake; unapaswa kujiona mwenyewe katika mtazamo huo; likubali hilo, na ishi ipasavyo.

Endelea kujifunza na kutafakari Neno la Mungu, kwa maana kwa jinsi unavyofanya hivyo zaidi, ndivyo zaidi utukufu Wake unaongezeka na kudhirishwa ndani yako, na kwa kupitia wewe.


Prayer

Baba mpendwa, ninakushukuru kwa kunifanya kuwa chapa halisi ya udhihirisho wa haki Yako, nikiufunua wema Wako na ubora katika ulimwengu. Ahsante kwa uweza wa kuona kweli za kitukufu katika Neno Lako, na kujiona mimi ni nani na kuona kile ulichoniita na kunifanya kuwa katika Kristo; ninatembea katika uhalisia wa mimi ni nani, urithi wangu, mamlaka, na uwezo wangu katika Kristo, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

Matendo 20:32; Yakobo 1:23-24 (GNB)

Excerpt

Pindi tunapohubiri Injili na kuwafundisha wengine Neno, tunakuwa tumeshikilia kioo cha Mungu mbele yao ili kwamba wapate kujiona wenyewe katika Neno, wajijue wao ni akina nani, vile vile na haki yao na uwezo wao katika Kristo

Bible Reading Plan

Annual : Luka 7:36-50 & Yosua 1-2
Bi-Annual : Matayo 26:26-35 & Kutoka 37



NI JUU YA MWITIKIO WAKO KATIKA NENO March 29th, 2019

March 29th, 2019


Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo (Waebrania 4:12).

Mstari wetu wa ufunguzi unatujuza nguvu ya Neno la Mungu. Walakini, Neno linasababisha matokeo tu pindi unapoliamini, na kulitenda. Muitikio wako-wa-imani ni wa muhimu mno. Kwa mfano, 2 Petro 1:3 inasema Mungu amekukirimia mambo yote yapasayo uzima na utauwa. Hili lina maana kuwa kila kitu unachoweza kukihitaji, ambacho kinaendana na mustakabali wa mapenzi kamili ya Mungu kwa ajili yako, tayari ni chako katika Kristo. Muitikio wako, hivyo, unapaswa kuwa, “Abarikiwe Mungu! Uzima, ustawi, mafanikio, ushindi na mambo yote ya kitukufu ya Injili ni halisia zangu wakati huu [yaani sasa] katika Kristo.”

Muitikio katika Neno la Mungu ndio namna unalifanya Neno kuwa halisi katika maisha yako binafsi, na hiyo ndiyo imani: yaani ni muitikio wa roho ya mwanadamu katika Neno la Mungu. 1 Wakorintho 2:12 unasema, “Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.” Imani ni kuweka matendo katika halisia hizi za kiroho zilizofunuliwa kwetu kwa Roho Mtakatifu, kuzikubali kwamba ndio kweli halisi na kuenenda ipasavyo.

Chukulia kwa mfano, 2 Wakorintho 2:14, inasema, “Ila Mungu ashukuriwe, anayetushangiliza daima katika Kristo, na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu.” Hii ina maana kwamba haijalishi ni kitu gani kimetokea, unapaswa kushupalia kuwa wewe ni mshindi daima, na katika mambo yote. Unasimama imara kwa miguu yako na kudumisha usemi wako kuwa wewe ni mshindi katika Kristo Yesu; si tu kuwa unalifikiria hilo, bali unalikiri. Haleluya!

Mungu ametupa Neno Lake ili tuliishi yaani tuishi kwalo, na kulitumia katika kuchora ramani yetu ya maisha katika ushindi. Ni jukumu lako kulitumia Neno; litende Neno. Badiliko unalolitamani katika uchumi wako, afya, na familia litakuja kutimia tu kulingana na muitikio wako katika Neno. Waebrania 13:5-6 unasema “…kwa kuwa yeye mwenyewe amesema... Hata twathubutu kusema…” 2 Wakorintho 4:13 unasema, “Twaamini, na kwa sababu hiyo, twanena”; ni juu ya muitikio wako katika Neno: yaani kile unachosema, kulingana na msingi wa kile Alichosema.


Prayer

Mbarikiwa Baba, ni kwa jinsi gani ninavyokupenda; umenifanya kuwa mwenye haki na mwenye kusitawi; umeyafanya maisha yangu kuwa bora, na yaliyojawa na utukufu. Ahsante kwa nguvu ya Neno Lako katika maisha yangu, ambalo linashinda na kuzalisha matokeo ndani yangu, na kwa ajili yangu, katika mambo yote, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

2 Wakorinto 2:14; Isaya 55:10-11; Waebrania 13:5-6

Excerpt

Muitikio katika Neno la Mungu ndio namna unalifanya Neno kuwa halisi katika maisha yako binafsi, na hiyo ndiyo imani: yaani ni muitikio wa roho ya mwanadamu katika Neno la Mungu.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 8:1-21 & Yosua 3-4
Bi-Annual : Matayo 26:36-46 & Kutoka 38



JUA WEWE NI NANI March 30th, 2019

March 30th, 2019


Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya (2 Wakorintho 5:17).

Kama Mkristo, kujijua wewe ni nani katika Kristo ni kwa muhimu mno; ni hitaji [takwa] la kuwa na mtazamo sahihi kwa changamoto unazoweza kukumbana nazo maishani, na kuishi juu ya hali. Kuna wengi ambao hawafurahii baraka za Ukristo, kwa sababu hawajijui wao ni nani katika Kristo; hawaelewi Mkristo ni nani. Kwa mfano, wanafikiri kuwa Mkristo ni mtu wa dini; mtu ambaye anaenda kanisani; hapana! Mkristo ni zaidi ya hayo.

Mkristo ni mtu ambaye ndani yake Kristo anaishi; ni mtu ambaye, na kupitia yeye, Ufalme wa Mungu unadhihirishwa; ni mbebaji wa Uungu. Pindi tu unapokubaliana na halisia hii, maisha yako yatachukua sura mpya, utaishi kwa furaha kila siku, pasipo kujali na bila kutegemeana na hali [mazingira] yalivyo. Hii ndiyo sababu ni muhimu sana ulielewe Neno la Mungu, nini Amekisema kukuhusu wewe, na kisha enenda ikupasavyo [kwa mtazamo na uelewa wa kile Alichosema].

Biblia inasema kuwa Yesu hakutolewa kufa kwa ajili ya dhambi zako tu, bali pia Alifufuliwa ili uhesabiwe haki: “Ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki” (Warumi 4:25). Inamaanisha nini kuhesabiwa haki? Ina maana kwamba kutangazwa “huna hatia”; ikimaanisha kwamba katika ufahamu wa haki, katika macho ya Mungu, hukuwahi kutenda dhambi; hivyo, hakuna mashitaka dhidi yako.

Sasa unaweza ukashukuru zaidi kwanini Biblia inasema kuwa wewe ni mtakatifu, usiye na mawaa wala lawama mbele za Mungu (Wakolosai 1:22), ni kwa sababu wewe ni kiumbe kipya: “Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya” (2 Wakorintho 5:17).

Wewe ni kiumbe kipya ambacho hakikuwahi kuwepo hapo kabla; ndio maana Mungu anaweza akatangaza kuwa huna hatia, kwa sababu hakuna chochote cha kuhukumu ukizingatia kuwa una maisha mapya kabisa [kiumbe kipya].

Kuhesabiwa kwako haki si kwa sababu Yesu “alilipa gharama” kwa ajili ya dhambi zako; Alifanya hivyo kwa ajili ya ulimwengu wote wa wenye dhambi, lakini Mkristo si mwenye dhambi. Mkristo ni kiumbe kipya; bidhaa ambayo, si ya kifo na kuzikwa kwa Yesu Kristo, bali ni matokeo ya ufufuo Wake! Ulitokana na ufufuo.

Wewe ni mwenye haki wa Mungu katika Kristo Yesu, umeneemeshwa kutawala na kudhihirisha mamlaka dhidi ya Shetani na hali mbalimbali. Haleluya!


Prayer

Ninatembea katika nuru ya kuhesabiwa kwangu haki; maisha yangu ni udhihirisho wa haki ya Mungu; mimi ni uzao wa Ibrahimu; hivyo, ninaishi juu ya uhitaji, magonjwa, maradhi, na kushindwa! Mimi ni mshindi katika mambo yote, nikimtumikia Bwana kwa furaha, na kwa utukufu, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

1 Yohane 5:4; 1 Wakorinto 6:11; 1 Petro2:9 AMPC

Excerpt

Kama Mkristo, kujijua wewe ni nani katika Kristo ni kwa muhimu mno; ni hitaji [takwa] la kuwa na mtazamo sahihi kwa changamoto unazoweza kukumbana nazo maishani, na kuishi juu ya hali

Bible Reading Plan

Annual : Luka 8:22-39 & Yosua 5-6
Bi-Annual : Matayo 26:47-56 & Kutoka 39



WITO WA KUIHUBIRI INJILI March 31st, 2019

March 31st, 2019


Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho (2 Wakorintho 5:18).

Kila Mkristo ameitwa kuipeleka Injili katika miisho yote ya dunia. Yesu alisema: “… Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe” (Marko 16:15), na kila kitu tunachohitaji ili kutimiza agizo hili la Kiungu tayari tunacho. Kumbuka kile Mwalimu alichowaambia wanafunzi Wake katika Luka 22:35, “Akawauliza, Je! Hapo nilipowatuma hamna mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu? Wakasema, La!”

Pindi Mungu anapokupa jukumu, Anahakikisha kuwa kila kitu unachohitaji ili kutimiza kazi hiyo unacho. Kile Anachohitaji ni kujitoa kwako kikamilifu kwa ndoto Yake. Unapaswa kudhamiria kuwa hakutakuwa na ukomo wa umbali kiasi gani uko tayari kwenda na kutenda kwa ajili ya Injili, kwa maana ni nguvu ya Mungu iletayo wokovu kwa kila aaminiye. Ni nguvu ya Mungu ambayo inawafanya wenye dhambi kuwa wenye haki. Ni nguvu ya Mungu inayo-mhamisha mtu masikini kutoka katika dimbwi la umasikini na mateso na kumwingiza katika maisha ya ustawi, utukufu, na ubora.

Mtu mwenye dhambi anahitaji kujua kuwa Yesu tayari alishalipa gharama kwa ajili ya dhambi zake. Masikini anahitaji kujua kuwa tayari ameshatolewa katika dimbwi la umasikini, na kuwekwa katika sehemu ya utele na ustawi. Mgonjwa anahitaji kujua kuwa afya ya Kiungu inapatikana kwa Kristo; kwamba Yesu ameondoa maumivu yote; ambacho wanapaswa kufanya ni kuliita tu Jina Lake. Lakini Warumi 10:14 inasema, “Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mhubiri?”

Hapo ndipo unapoingia sasa; wewe ni mbebaji wa habari njema za wokovu wa Kristo. Amua kwamba kupitia wewe, wale walio katika nyanja ya ulimwengu wako ambao bado hawajamjua Bwana kuwa wataisikia na kuipokea Injili. Kama Mtume Paulo, chukua wito wa kuhubiri Injili kwa uzito; ifanye kuwa ni kazi ya maisha yako.

Mtume Paulo katika Warumi 1:16 alisema, “Siionei haya Injili ya Kristo”; kisha katika 1 Wakorintho 9:16 alisema, “Ole wangu nisipoihubiri Injili!” Kuwa na fikra kama hizo kuhusu Injili, kwa maana umepewa amana ya Injili.


Prayer

Mpendwa Baba, ninakushukuru kwa Injili ya kitukufu ya Kristo, ambayo kupitia kwayo uzima na kutokuharibika vimedhihirishwa. Nimesadiki kuwa Injili ni nguvu ya Mungu iletayo wokovu; hivyo, nimejitoa kikamilifu katika uenezi wa Injili duniani kote. Leo, wengi wanaokolewa kutoka dhambini, na kuja katika haki, na katika uhuru wa kitukufu wa wana Mungu, kwa jinsi ambavyo Injili inahubiriwa duniani kote, katika Jina la Yesu. Amina.

Further Study

1 Wakorinto 9:16-18; Marko 16:20; 1 Timoteo 1:11

Excerpt

Ni nguvu ya Mungu ambayo inawafanya wenye dhambi kuwa wenye haki. Ni nguvu ya Mungu inayo-mhamisha mtu masikini kutoka katika dimbwi la umasikini na mateso na kumwingiza katika maisha ya ustawi, utukufu, na ubora.

Bible Reading Plan

Annual : Luka 8:40-56 & Yosua 7-9
Bi-Annual : Matayo 26:57-68 & Kutoka 40